Life speaking Ministry ilizaliwa
rasmi, Baada ya MUNGU kupanua mipaka yetu ya maono kutoka Life speaking foundation
iliyo anza rasmi tarehe 13/11/2015 kwenda kwenye ministry yenye kurugenzi tatu.
Kurugenzi hizo ni kama zifuatazo
1. Kurugenzi ya Life Speaking
Foundation( Life)
2. Kurugenzi ya Life Speaking Gospel
(a Way)
3. Kurugenzi ya Life Speaking
Empowerment (Truth)
Huduma ya Life speaking ministry ni maono ya kumpeleka YESU kwenye maisha ya watu, ulimwenguni kote kupitia kurugenzi zake zote tatu. Ni kupeleka Uzima, Kweli na Njia sawasawa na
Yohana 14:6
"Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."
"Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."
No comments:
Post a Comment