Una Heri wewe wanaye kushutumu, kwa ajili ya Kristo.
Furahi na Kushangilia
Furahi na Kushangilia
Una Heri wewe wanaye kuudhi , kwa ajili ya Kristo.
Furahi na Kushangilia
Furahi na Kushangilia
Una Heri wewe wanaye kunenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili ya Kristo.
Furahi na Kushangilia
Furahi na Kushangilia
Neno la Mungu Linasema:
Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu.
Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu.
Mathayo 5:11,12
Jesus Christ
To All Nations