Ninaposema Kiumbe Kipya nina maanisha ni Kiumbe kipya
ambacho hakina mfano wake hapo kabla.(No sample).
Ni
uanzishwaji wa maisha au ni mwanzo wa maisha ambayo mtu hajawai kuishi hapo
mwanzo, wala hamna mfano wa maisha hayo.
(Old
things are passed away). Maana yake maisha ya kale yamekufa, hayapo tena.
Maana yake hakuna chembe chembe za kale tena. Ni
kiumbe Kipya kabisa, Kiumbe Kimpya kabisa. Sadiki maneno haya: Ni kiumbe Kipya
Kabisa.
2kor 5:17
Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya
kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.
(KJV::Therefore if any man be in
Christ, he is a new creature: old things are passed away; behold, all things become
new)
ü Ndani
ya Kristo YESU pekee, ndio unaweza kuwa kiumbe kipya kabisa.
ü Historia
yako mbaya, na Majuto yako yote ya Kale, yanaweza kuzikwa na kuzikika ndani ya
krito YESU pekee.
ü Kama
ulishindwa kubadilika na kushinda hali inayo kutesa sasa. Unahitaji kuwa ndani
ya Kristo, na hali hiyo itakuwa ukale ulio pita kuanzia leo (old things are
passed away) na utaanza mwanzo mpya(all
things become new).
MAOMBI
Asanthe MUNGU kwa ajili ya
KRISTO YESU Bwana wangu, Nimeamua
kukufata wewe YESU, na Kukaaa ndani yako. Kaa Ndani yangu BWANA. Nakuamini
KRISTO YESU kuwa ulikufa na kufufuka kwa ajili ya maisha yangu. Naomba Neema ya
Kunisaidia kuenenda katika upya wa uzima. Katika Jina la YESU KRISTO. Ameen.
Mimi
ni Kiumbe Kipya(I am a New Creature)
No comments:
Post a Comment